Muhimbili yapokea msaada wa mashine ya Patholojia

Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH) imepokea msaada wa mashine ya Patholojia kutoka kwa wataalam nchini Marekani ambayo itasaidia kurahisisha utoaji wa majibu ya wagonjwa wa saratani kutoka siku 14 hadi siku 3.
Soma Zaidi
Wataalam wa Afya kutoka Marekani watembelea MNH

Wataalam wa Afya kutoka Marekani leo wametembelea Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH) na kufanya mazungumzo na uongozi wa hospitali hiyo lengo likiwa ni kushirikiana katika utoaji wa huduma za afya.
Soma Zaidi