Wataalamu wakutana Muhimbili kujadili jinsi ya kuboresha upasuaji wa watoto nchini

Wataalamu wa afya kutoka hospitali mbalimbali nchini na nje ya nchi wamekutana katika Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH) kujadili jinsi ya kuboresha upasuaji wa watoto kabla na baada ya kufanyika kwa huduma hii.
Soma Zaidi
Wataalamu wa kujitolea watakiwa kuzingatia maadili

Wataalamu wa kujitolea katika kada mbalimbali Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH) wamepatiwa mafunzo kuhusu sheria, kanuni na taratibu za kazi ili kuwawezesha kuzingatia maadili ya utumishi wa umma.
Soma Zaidi