Hospitali ya Taifa Muhimbili–Mloganzila imepokea msaada wa vifaa vya usafi pamoja na kunawa mikono kutoka kwa Taasisi ya Wipahs na Medewell ikiwa ni sehemu ya mapambano dhidi ya virusi vya ugonjwa wa Corona (Covid-19).
Hospitali ya Taifa Muhimbili imeanza kusambaza mavazi maalumu (coverall) ambayo ni sehemu ya mavazi ya watoa huduma (PPE) kuvaa ili kujikinga wakati wanatoa huduma wagonjwa wenye maambuki mbalimbali ikiwemo Covid 19 kwa ka ...
Katibu Mkuu wa Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Dkt. Zainab Chaula ameipongeza Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH) kwa ubunifu wa kushona vazi (PPE) kwa ajili ya Wataalamu wa Afya kuj ...
Hospitali ya Taifa Muhimbili imeanza kutumia teknolojia ya mifuko maalumu (Silo bags) kuokoa maisha ya watoto wanaozaliwa wakiwa na tatizo tumbo kuwa wazi na utumbo kuwa nje kwa kitaalamu (Gastroschisis)) ambao hauhusishi mtoto kufanyiwa upasuaji wala kupew ...
Taasisi ya MO DEWJI imetoa msaada wa TZS 100 mil, kwa Taasisi ya Tumaini La Maisha (TLM) inayofanya kazi na Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH) kwa lengo la kusaidia utoaji wa huduma za matibabu kwa watoto wenye saratani ambao wa ...
Hospitali ya Taifa Muhimbili-Mloganzila imeendelea kutekeleza agizo lililotolewa na Serikali pamoja na miongozo iliyotolewa na Shirika la Afya Duniani (WHO) ya kuchukua hatua mbalimbali ili kujikinga, kuwakinga wengine na maambukizi ya virusi vya COVID 19 v ...
Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH-Upanga & Mloganzila) ikishirikiana na Taasisi ya Tiba ya Mifupa Muhimbili (MOI), Taasisi ya Tiba ya Moyo Jakaya Kikwete (JCKI) na Chuo Kikuu cha Afya na Sayansi Shirikishi Muhimbili (MUHAS) ...
Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH), imekutana na viongozi mbalimbali wa dini katika maadhimisho ya siku ya figo duniani, huku wakitakiwa kuwahamasisha wananchi kupima afya mara kwa mara ili kubaini mapema magonjwa ya figo.
Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH) imepokea msaada wa televisheni tano zenye thamani ya shilingi milioni 3.8 kwa ajili ya kutoa mafunzo ya vipindi vya afya kwa wazazi, walezi na watoto wenye saratani ambao wamelazwa hospit ...
Wafanyakazi wanawake wa Hospitali ya Taifa Muhimbili Upanga na Mloganzila leo wameungana na wanawake wengine duniani kusherehekea siku ya wanawake inayoadhimishwa Machi 8 kila mwaka duniani kote.
Maadhimisho hayo kimkoa yamefanyika katika viwanja vy ...