Muhimbili wapatiwa mafunzo ya kukabiliana na majanga ya moto

Wafanyakazi wa Hospitali ya Taifa Muhimbili wamepatiwa mafunzo ya kinga na tahadhari dhidi ya majanga ya moto kwa lengo la kujikinga na majanga ya moto na kuhakikisha hospitali inakua salama.
Soma Zaidi
Kunenge: Tunatambua mchango mkubwa wa wauguzi na wakunga

Serikali inatambua mchango mkubwa unaotolewa na wauguzi na wakunga katika kutoa huduma za afya kwa Watanzania.
Soma Zaidi