Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Mh. Amos Makalla akiongozana na kamati ya ulinzi na usalama, Chama cha Mapinduzi mkoa, Bodaboda na Machinga wameshiriki zoezi la kufanya usafi katika Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH) ikiwa ni kilele cha maadhimisho ya miaka 5 ...
Wagonjwa wanaougua Himofilia, wazazi, wauguzi, na madaktari wa ugonjwa huo wametakiwa kuimarisha Chama cha Himofilia Tanzania ili kiweze kusaidia jamii ya watu wenye ugonjwa huo kuuelewa na kujua namna ya kuishi na kukabil ...
Watumishi wa kada mbalimbali za afya kutoka Unguja na Pemba wamehitimu mafunzo ya muda mfupi ya uangalizi wa wagonjwa mahututi (Critical Care) na huduma za agonjwa ya dharura na ajali (Emergency Medicine) katika Hospitali ya Tai ...
Mamia ya Wananchi wamejitokeza katika viwanja vya Hospitali ya Wilaya Bagamoyo katika kambi maalumu ya uchunguzi wa matatizo ya Macho inayoendeshwa n ...