Waziri Ummy Mwalimu aiomba NMB kuendelea kuchangia huduma za afya

Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Mhe. Ummy Mwalimu ameziomba sekta binafsi ikiwamo benki ya NMB kuelendelea kushirikiana na Serikali katika kuboresha huduma za afya nchini.
Soma Zaidi
Muhimbili yazindua ICU mbili za watoto wachanga, zapunguza vifo

Tanzania ni nchi mojawapo duniani iliyofanikiwa kupunguza idadi ya vifo vya watoto walio chini ya miaka mitano kwa theluthi mbili na imesababisha kufikia mpango namba nne wa malengo ya millennia.
Soma Zaidi
Wabunge kutoka Korea watembelea Mloganzila

Wabunge wa Serikali ya Korea ya Kusini wakiongozwa na mwenyekiti wa kamati ya afya ya Bunge hilo, wametembelea Hospitali ya Taifa Muhimbili-Mloganzila ili kufahamu huduma zinazotolewa hospitalini hapa.
Soma Zaidi