Watoto wenye ulemavu wapokea msaada wa viti maalumu

Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH) imepokea msaada wa viti maalumu 15 vyenye thamani ya zaidi ya TZS 3 milioni na kuwapatia watoto wenye ulemavu ambao wanatibiwa hapa Muhimbili.
Wataalamu wakutana Mloganzila kujadili mbinu za kupambana na saratani ya matiti

Wataalamu kutoka hospitali mbalimbali nchini wamekutana ili kuboresha huduma za upasuaji kwa wagonjwa wanaogunduliwa kuwa na saratani ya matiti ili kupunguza vifo vinavyotokana na ugonjwa huo.
Soma Zaidi